jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
Swali: Kufanya biashara ni halali?Mi ninavyoona maisha sio magumu na hayajabadilikaa ilaa utofauti ni jinsi ulivyokuwaaa unajipatiaa kipato chako kama ilikuwa ni kwa halali maishaa yatakuwa ndo yale yale ila kama mlikuwa mmezoeaa janja janjaa lazima jua liwawakiee 24/7
View attachment 441348