Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Kufa ni mara moja tu na ukishakufa unaoza then you are done. Hamna jingine tu juu ya mwili wako. Tusipoteze pesa nyingi na kuingia gharama kumzika mtu ambaye ktk ulimwengu huu ashapoteza uwepo wake.
Ni aibu watu wanapogombea maiti. Huwakuti hawa wakigombea kuuguza. Linapokuja suala la kuuguza huwa watu wanakuwa mbali sana. Ila hupenda kuonesha umuhimu wakati wa kuzika.
Kama mtu amefariki matendo yake ndiyo yatakayomfuata. Azikwe panapowezekana ama sivyo kama ana sehemu maalumu ya kutaka kuzikwa asisahau kuacha na pesa.
SIyo mtu akiwa hai anasema akifa akazikwe Mwanza. Halafu kaondoka hajaacha nauli au pesa za kusafirisha maiti kwenda Mwanza. Ni vyema akasema kama anataka akazikwe Rukwa na sasa yeye yupo Dar aache kabisa pesa ya gharama za kusafirisha.
Na kama anaumwa basi ni vyema akajongea kabisa eneo la tukio ili afie huko. Siyo analazimisha kukaa town mpaka ana pass away then anataka akazikwe Mkoani huko Mbali na hakuacha pesa kwa ajili hiyo.
Otherwise. Maiti zichomwe moto majivu yasafirishwe. Au maiti zizikwe pale panapowezekana
Ni aibu watu wanapogombea maiti. Huwakuti hawa wakigombea kuuguza. Linapokuja suala la kuuguza huwa watu wanakuwa mbali sana. Ila hupenda kuonesha umuhimu wakati wa kuzika.
Kama mtu amefariki matendo yake ndiyo yatakayomfuata. Azikwe panapowezekana ama sivyo kama ana sehemu maalumu ya kutaka kuzikwa asisahau kuacha na pesa.
SIyo mtu akiwa hai anasema akifa akazikwe Mwanza. Halafu kaondoka hajaacha nauli au pesa za kusafirisha maiti kwenda Mwanza. Ni vyema akasema kama anataka akazikwe Rukwa na sasa yeye yupo Dar aache kabisa pesa ya gharama za kusafirisha.
Na kama anaumwa basi ni vyema akajongea kabisa eneo la tukio ili afie huko. Siyo analazimisha kukaa town mpaka ana pass away then anataka akazikwe Mkoani huko Mbali na hakuacha pesa kwa ajili hiyo.
Otherwise. Maiti zichomwe moto majivu yasafirishwe. Au maiti zizikwe pale panapowezekana