Jamani tuacheni sauti za wananchi yaani maoni ya watu kama yalivyochambuliwa na Tume yatawale. Tukitaka Serikali mbili tutarudi kule kule kwa mwanzo hata tukafanya mambo Zanzibar kiasi wengi hawaelewi kama sasa ni serikali mbili au ni vipi. Ni katiba mpya ya Zanzibar ndiyo iliyoinyamazisha Zanzibar. Maana ya serikali mbili itaunja tena katiba ya Zanzibar ambayo si ya serikali mbili tena. Seriklai tatu zitadumisha muungano kliko serikali tatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.