Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Tanzania Majaji wanapatikanaje? Au Rais anaweza akamteua mtu yeyote kuwa Jaji? Sioni kama kuna mchakato wowote unaoihusisha mahakama kuwapata majaji.
Naona kama serikali ndio walioshika nyenzo zote za majaji na ndio maana kadri siku zinavyokwenda idadi ya majaji wasiotokana na mfumo wa mahakama inaongezeka Jambo linalokwamisha upatikanaji wa majaji wenye uzoefu.
Mtu anatoka kumiliki ofisi ya uwakili Hadi Jaji, au anatoka kwenye uendesha mashtaka hadi Jaji? Je, ni sahihi nafasi ya ujaji ikiwa sehemu yakwenda kufanyia majaribio?
Hakuna usahili
Naona kama serikali ndio walioshika nyenzo zote za majaji na ndio maana kadri siku zinavyokwenda idadi ya majaji wasiotokana na mfumo wa mahakama inaongezeka Jambo linalokwamisha upatikanaji wa majaji wenye uzoefu.
Mtu anatoka kumiliki ofisi ya uwakili Hadi Jaji, au anatoka kwenye uendesha mashtaka hadi Jaji? Je, ni sahihi nafasi ya ujaji ikiwa sehemu yakwenda kufanyia majaribio?
Hakuna usahili