Kamanda Beatrice naona weye ni mfuasi wa "wenzetu" Kenya, au tuseme wenzenu: kazi za Jaji hutangazwa magazetini na kupeleka maombi ya ajira kama vile unaomba Uhasibu. System yetu ya majaji ni tried and tested, inafuata katiba (with regard to separation of duties), lakini inafuata miiko ya utumishi (Executive).
Rais kwa vile ndiye Mbunge na muwakilishi wa kila mtu (hakuna mwingine kama yeye) anapewa madaraka makubwa - and quite rightly so - kwa niaba ya waliomchagua. Kana Rais ni wa CCM, sawa tu, ndiye waliyemchagua. Kama atawapendelea wenye mawazo kama yake, sawa tu, nyani hutamuona anatembelea kuku.
Hivi hushangai wenzenu Kenya kumuona Mbunge Orengo ndiye advocate wa Yuda Raila mgombea, sawa na Dr Tulia amtetee tundulissu? Kenya ni idiots, hawana kabisa separation ya Judiciary na Legislature, wala hawana cha kutufundisha.