Majaketi ya baridi kutoka ulaya kwa wanaoishi sehemu za baridi ama wanaotarajia kusafiri katika nchi

Majaketi ya baridi kutoka ulaya kwa wanaoishi sehemu za baridi ama wanaotarajia kusafiri katika nchi

Gazillionaire

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
235
Reaction score
59
Wakuu, nauza majaketi na makoti mazito kwa ajili ya kutumika sehemu zenye baridi kali kwa bei ya kuanzia sh. 20,000/= hadi elfu 70 kwa wale wanaotaraji kwenda sehemu za baridi ama wale waishio sehemu za baridi. Ni ya mtumba lakini ya quality ya juu na ni kama mapya. Yapo ya Ngozi(Leather), Manyoya na ya kitambaa na ni ya Kisasa. Pia nina blouse za ngozi na suruali za jeans nzuri. Tafadhali kwa anaehitaji ani PM.
 
Weka Picha kwanza.

Kwnaini unatoa Ulaya wakati China yapo kibao tena bei poa.
 
Km yanatoka ulaya mzigo wa nini mi ntaenda nunua huko nkfka
 
Km yanatoka ulaya mzigo wa nini mi ntaenda nunua huko nkfka
Utayakuta kwa bei kubwa kuliko utakavyoyanunua kwangu ukasave. Sijui unaenda nchi gani lakini Karibu tunaingia msimu wa autumn, nguo za winter zinapanda bei sana Europe, ukinunua kwangu utaweza kusave sana.
 
Back
Top Bottom