babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
ila kwa watanzania tuliowengi,unatakiwa kufanya jambo dogo sana hata moja tu kwakubahatisha muda mwingine,unaweza pewa sifa nyingiii hata usizokuwa nazoAssad ni mzuri kweli ila tatizo anakosa sifa za kikatiba kuwa na wadhifa wowote ule kwenye serikali ya jamuhuri ya muungano kwa sasa.
Option zote PM-awe huyo huyo sio?Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
...mayoNchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
Mchawi wa kutupwa yule.Huwa najiuliza huyu mwigulu kinacho mbeba ni nini hadi watu waone anaweza. Au kile kitambaa na tai zenye rangi ya Tz.
Kuna wenye damu za watu mikononi mwao.Nchi kubwa ya Tanzania si nyepesi; serikalini si kwepesi, chamani si kwepesi, na uraiani si kwepesi
Kwa hiyo Mh. SSH anatakiwa kuwa na wasaidizi very bold 'strong'
- Wanaoijua siasa
- Wanaokijua chama
- Wanaoijua serikali (ki muundo, mfumo na taratibu)
- Wanaowajua na watakao wamudu watanganyika wenzao ambao huwa na sifa za ubishi, utemi, mfumo dume, upigaji (wizi, rushwa na ufisadi), nk.
- Bila kusahau sifa za msingi za uzalendo, bidii ya kazi, ubunifu, na nk.
Option 1
VP - Majaliwa
PM - Mwigulu
Option 2
VP - Nchimbi
PM - Mwigulu
Sifa zao 'kibinafsi'
Majaliwa - yeye pamoja na Mh. SSH walikuwa wasaidizi wa juu kabisa wa mzee, pia alizunguka kuinadi ilani, kwa hiyo naye pia anajua vilivyo mipango na matarajio ya mzee (watasaidiana kuikamilisha)
Mwigulu - amehudumu chamani na serikalini (kama mtumishi wa uma na kiongozi kupitia nafasi za kisiasa), ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH kwa hiyo anafaa kutumwa tumwa (leo Mara, kesho Mbeya, kesho kutwa Arusha)
Nchimbi - amehudumu chamani na serikalini, na kwenye nyanja za kimataifa 'kama balozi', naye pia ni mdogo kiumri kwa Mh. SSH
We mfuatilie vizuri hana makando kando kama wengine nimefuatili assad tangu akiwa pale UDSM kama senior lecturerila kwa watanzania tuliowengi,unatakiwa kufanya jambo dogo sana hata moja tu kwakubahatisha muda mwingine,unaweza pewa sifa nyingiii hata usizokuwa nazo
tuliowengi hatufuatilii historia pana ya mtu,ndiyo sababu tunawapa watu uongozi alafu tunaanza kuwatukana kwa muda mfupi sana,ni kwa kuwa huwa hatuwafuatilii kwa undani
huyu Assad anapewa sifa nyingi sanaaa kisa aliingia mgogoro na Ndugai,maadui wa Ndugai wakawa upande wa Assad bila hata sababu,
simjui vizuri huyu Assad lakini waweza kuta sifa anazokuzwa nazo zingine si za kwali
We mfuatilie vizuri hana makando kando kama wengine nimefuatili assad tangu akiwa pale UDSM kama senior lecturer )ila kwa watanzania tuliowengi,unatakiwa kufanya jambo dogo sana hata moja tu kwakubahatisha muda mwingine,unaweza pewa sifa nyingiii hata usizokuwa nazo
tuliowengi hatufuatilii historia pana ya mtu,ndiyo sababu tunawapa watu uongozi alafu tunaanza kuwatukana kwa muda mfupi sana,ni kwa kuwa huwa hatuwafuatilii kwa undani
huyu Assad anapewa sifa nyingi sanaaa kisa aliingia mgogoro na Ndugai,maadui wa Ndugai wakawa upande wa Assad bila hata sababu,
simjui vizuri huyu Assad lakini waweza kuta sifa anazokuzwa nazo zingine si za kwali
Ndumba tu mkuu, ila imefika mwishoHuwa najiuliza huyu mwigulu kinacho mbeba ni nini hadi watu waone anaweza. Au kile kitambaa na tai zenye rangi ya Tz.