[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wame Bahatika Kupata Shati
Kamuulize hamza atakusimuliaKenya hakuna askari. Vibaka wanne wamewaendesha polisi wa Kenya kutwa nzima. Hapa kwetu Tanzania ni jeshi la sungusungu tu lingetosha kuwadhibiti ndani ya dakika 45 tu.
Poleni wakenya.