Majambo mbaya kitandani

dah! Ha,ha,ha,ha,ha,haaaa hii kal yan ha,ha,ha,ha,ha,ha....! Duu! Umeniua kitandan ha,ha,ha,haaa
 
nimeipenda hii mwanawane,nimecheka hadi nimemuamsha mama watoto,mbavu zanguuuuu
 
Nimecheka kwa Sauti hd nahisi kesho mama mwny nyumba ataitisha kikao kwa kuwa nimepga kelele! Umenifanya nimalize vyema sn siku ya leo! Asante!
 
Nakusalutia mkuu umenifanya simanzi yote ya kuitafakali nchi hii na wanadishaji wake inatoke kwa muda .
Kweli sikutegemea kucheka lkn nashukuru kwa kichekesho mulua yaaani we acha tu yamewk=akuta hasa vikojozi.
 
Harry lazima alikuwa amekunywa chang'aa heheheeh
 
:laugh:dah u made ma day hahahahahahahaa
 
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapa namuacha huyo mwanaume saa hiyo hiyo
Memo , unapaswa kutafakari kwanza Kabla hujaacha , Kumbuka kiapo, na madhara ya kuvunja mkataba ( unaweza kuishia kwenye dissasiter kama TZ vs Dowans)
 
AHAHAHAHA LOL HII KALI KULIKO.
sorry,watumia kinywaji gani
 
aaaaaaaaaaaaaaah aaaaaaaaaaah hohohohoh huuuuuuuuuu! jamani mbavu zangu mieeeee!!!!!!!!!!!!!!!

Pumbafu Harry what are you doing umeniudhi sana mtu mzima ovyo !!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mmmmh, sijui ni nina alifanya usafi wa hiyo makitu hapo kwa bed.
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:manake mmmmmmh
 

Duh mkuuu umenivunja mbavu vibaya saaaanaa. Hii joke naweza sema kwa mwaka huu inaongoza labda baadaye itoke nyingine iipiku hii....Thanks B B
 
Hivi vichwa vingine sijui vitatoka wapi... :sick:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…