Majambo mbaya kitandani

Inafurahisha, nimeisoma jana na leo nimeirudia. Mbaya zaidi imenikumbusha jamaa fulani toka MZA wakati niko chuo alilala mchana chali na joto kali la DSM hakujifunika kitu alibaki na nguo ya ndani tu, kutokana na kukaa muda mrefu bila kukutana na mamaaaaa alichokuwa anaota anajua mwenyewe lakini niliona rungu linachungulia mara..majambos yanamwagika kama gari la polisi la maji ya kuwasha........!!!!!! (ambaye hajanielewa hajakua..)
 
Mmmmh, sijui ni nina alifanya usafi wa hiyo makitu hapo kwa bed.
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:manake mmmmmmh

mbona hiyo iko direct mama lazima arekebishe mambo ya usafi,au kuna utaratibu mwingine??????
 

Mkuu hebu acha kutuchekesha wenzio tumevunjika mbavu halafu na wewe unakomelea mwingine lol!
 
Ahahahahahahaaah!!
 

waaahaaahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:clap2:
 
Imekaa vizuri sana,sina tabia ya kucheka lakini umenifanya nitabasamu.Kama umetunga mwenyewe basi unakipaji kizuri sana kiendeleze na utaona matunda yake.
 
Bwahahahahahaabwaha bwahah bwaha lol nimecheka sana nafikiri miaka ya kuishi nayo imeongezeka sana leo
 
lol.. nimecheka mpaka basi, we mkali mkuu, sio vby nikitia kathanx.
 
:clap2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…