Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 478
- 408
Ni jambo la kusikitisha watoto wa form two ambao wameanza mtiani wa Taifa siku ya leo kitaifa,huko karatu shule ya sekondari wel wel mambo ni tofauti kabisa baada ya robo ya darasa kufukuzwa nyumbani kisa wanadaiwa mahindi na maharage.,haikuishia hapo pia na watoto wa kidato cha nne leo wanafanya mtiani wa BRN nao nusu ya darasa wamefukuzwa,je hii ni haki? Na sheria zinafuatwa?
MAMLAKA HUSIKA ZICHUKUE HATUA.
MAMLAKA HUSIKA ZICHUKUE HATUA.