maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 957
yule mama wa ma drama na ma fake news yuko ndani ya skendo mpya baada ya lile Range rover alilojizawadia kwenye b day yake kukamatwa na tRA na liko yadi likipigwa mnada kwa sh milioni 200.
Kosa ni kwa gari hilo kuingizwa nchini bila kulipiwa ushuru:::
*****wadau mbalimbali wamem,uomba makamu wa Rais aingilie kati kumuokoa kampeni meneja wake aliyefanya kazi kubwa ya kumtukana lowassa mwaka jana kwenye kampeni.
Adioos..cheers************
Kosa ni kwa gari hilo kuingizwa nchini bila kulipiwa ushuru:::
*****wadau mbalimbali wamem,uomba makamu wa Rais aingilie kati kumuokoa kampeni meneja wake aliyefanya kazi kubwa ya kumtukana lowassa mwaka jana kwenye kampeni.
Adioos..cheers************