- Janga la kisiasa (Hatukupata vipaji vipya vya kisiasa)
- Bunge kuzimika laivu
- Ajari ya treni kule Dodoma
- Tetemeko la Kagera
- Mauaji MKIRU (Ikwiriri na Kibiti) na mikoa ya kusini
- Ajari ya kivuko Ukara (ukerewe)
- Kundi la nzige huko kaskazini
- Mlima Kilimanjaro kuwaka moto
- Isabella kuleta Corona
- Vifo vya watu holela wakiwemo wafanyabiashara wakubwa na viongozi wakubwa (Isivyo kawaida)