Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Hapa kuna moja kati ya haya..Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Mbona kawaida sana tena hao wachache, Dr. Karamagi wa Economics huwa anatakamata hadi 700 yeye tu peke yake kwenye kozi yake ya Intermediate Microeconomics. Hapo bado Ngowi hajashika nusu ya Darasa kwenye course ya Probability Distributions watu wa Statistics
Mmmmhhh inaonekana SUA mnatumia lugha ngumu,Poleni sana ndugu ni janga la kila chuo na average hapo ni 40 je ingekua 50 kama sua ingejukaje?
Mbona kawaida sana tena hao wachache, Dr. Karamagi wa Economics huwa anatakamata hadi 700 yeye tu peke yake kwenye kozi yake ya Intermediate Microeconomics. Hapo bado Ngowi hajashika nusu ya Darasa kwenye course ya Probability Distributions watu wa Statistics
Hapa kuna moja kati ya haya..
1. Waliojiunga wengi ni vilaza...
2. Wakufunzi hawajui kutoa nyanga...
3. Mchanganyiko wa yote hapo juu..
4. Kuna kuchukuliana mademu kati ya wakufunzi na wanafunzi..
5. Background ya wanafunzi kishule si ya kujiunga na UDSM...
Kuna watu wanapata hizo point ulizoziandika, lakini kumbuka si kwamba mtu wa hivyo anafiti kila mahali... Kipoint yes, lakini kitaaluma wengine huwa wanaingia chaka.... Unaweza ukawa una hizo point na ukaliwa kichwa vile vile, sababu ni kuchagua kozi isiyokufaa au usiyoiweza....mkuu,kuna mtu namfahamu ameingia na dv 1.4 ila wamemla kichwa kule coet.utasema huyo nae background yake ilikua mbovu?
waliaga kwao wanaenda kuchukua degree utadhani waliiweka.pole kwa wote