Unaelewa tofauti ya kushikwa na kudisco?
Idadi hiyo ni kubwa sana kwa disco, poleni wahanga.
Tatizo sidhani kama ni wakufunzi, maana hawajaanza kazi leo.
Tatizo ni misingi mibovu ya elimu za vijana wetu wa sasa, pamoja na anasa
Kuna watu wanapata hizo point ulizoziandika, lakini kumbuka si kwamba mtu wa hivyo anafiti kila mahali... Kipoint yes, lakini kitaaluma wengine huwa wanaingia chaka.... Unaweza ukawa una hizo point na ukaliwa kichwa vile vile, sababu ni kuchagua kozi isiyokufaa au usiyoiweza....
500 ni kidogo sana kwa idadi ya wanafunzi kwa miaka yote!walimu wamekua fair sana
Kwani hakunaga option kwa aliye disco kurudi chuo au kusafisha makosa?
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9
Kuna watu wanapata hizo point ulizoziandika, lakini kumbuka si kwamba mtu wa hivyo anafiti kila mahali... Kipoint yes, lakini kitaaluma wengine huwa wanaingia chaka.... Unaweza ukawa una hizo point na ukaliwa kichwa vile vile, sababu ni kuchagua kozi isiyokufaa au usiyoiweza....
Na kuna watu hawajaziwea uhuru wa chuo, kwamba maamuzi yote unayo mwenyewe ila mtakutana kwenye mtihani. Sasa wa geti kali akishaingia mazingira hayo, anakuwa kama vile ndo anabalehe, full genye mshindo, full kujirusha na full kitegemea kudesa na matokeo yake ndo huwa hayoKweli kabisa kuna watu wengi wanapoint nzuri ila hawajiwezi hasa wanaotoka kwenye Seminary za kutafuniwa, kuna watu wametoka kwenye shule za kata na Div. III zao wanaperform vizuri zaidi kwa kuwa wameshazoea kujihangaikia wenyewe. Na chuo bila kuhangaika mwenyewe library utapata shida na ukitoka utakuwa kilaza tu
Hamna kitu, haya ni maneno ya mkosaji tu! Wanafunzi someni acheni mzaha.....!Hapa kuna moja kati ya haya..
1. Waliojiunga wengi ni vilaza...
2. Wakufunzi hawajui kutoa nyanga...
3. Mchanganyiko wa yote hapo juu..
4. Kuna kuchukuliana mademu kati ya wakufunzi na wanafunzi..
5. Background ya wanafunzi kishule si ya kujiunga na UDSM...