Leo nimemshangaa jamaa mmoja tukiwa kwenye dalalada la ubungo gongo la mboto kavua shati la rangi ya kijani kwa madai kwamba anaogopa kupigwa na wapinzani wa ccm kwakuwa kavaa rangi ya kijani kila mtu kamshangaa kwenye gari yaani haikuniingia akilini tena ni kijana wa maana tu akashuka buguruni kwenye mbao akiwa kifua wazi jmn hatujafika huko