Majangaa Makubwa yaliyoikumba Nchini Oman jana usiku kumetokea Mafuriko Makubwa sana kwa Sababu ya Mvua ilnyesha kwa wingi lakini salama

Majangaa Makubwa yaliyoikumba Nchini Oman jana usiku kumetokea Mafuriko Makubwa sana kwa Sababu ya Mvua ilnyesha kwa wingi lakini salama

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363









 
Majanga makubwa lakini salama wewe mzee siku hizi umeanzia kuchanganyikiwa

USSR
 
Majanga makubwa lakini salama wewe mzee siku hizi umeanzia kuchanganyikiwa

USSR
Kivipi kuchanganyikiwa? Majangaa yametokea ya Mafuriko ya Mvua lakini salama hajafa Mtu. Kutokea majangaa ya mafuriko Uarabuni haswa nchini Oman ni jambo la kawaida. Laiti yangetokea hayo majangaa ya mafuriko ya mvua huko kwetu haswa jiji la Dares-Salaam ungesikia vifo vingi na vilio vya watu lakini kwa nchini Oman ni jambo la kawaida tu. Sasa Wapi mimi nilipo changanyikiwa?au huelewi Kiswahili nilichokisema nini? weweni mtu wapi hapo Tanzania?Inaonyesha Kiswahili cha kinakupiga chenga pole sana .
 
Karma is bitch.. Ankal ni mama
Karma is bitch Ankal ni mama una maana gani?sijakuelewa hapo vizuri fafanuwa kaka .............................

main-qimg-2512b788e9190c26caaa5712798c5698-lq.jpg
 
Back
Top Bottom