Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kivipi kuchanganyikiwa? Majangaa yametokea ya Mafuriko ya Mvua lakini salama hajafa Mtu. Kutokea majangaa ya mafuriko Uarabuni haswa nchini Oman ni jambo la kawaida. Laiti yangetokea hayo majangaa ya mafuriko ya mvua huko kwetu haswa jiji la Dares-Salaam ungesikia vifo vingi na vilio vya watu lakini kwa nchini Oman ni jambo la kawaida tu. Sasa Wapi mimi nilipo changanyikiwa?au huelewi Kiswahili nilichokisema nini? weweni mtu wapi hapo Tanzania?Inaonyesha Kiswahili cha kinakupiga chenga pole sana .Majanga makubwa lakini salama wewe mzee siku hizi umeanzia kuchanganyikiwa
USSR
Mchokozi wewe ......................................Unaweza kushangaa mtoto wa mjomba akatoa pesa za Tanganyika kuwapa pole.
Karma is bitch Ankal ni mama una maana gani?sijakuelewa hapo vizuri fafanuwa kaka .............................Karma is bitch.. Ankal ni mama
Asante saaana tunazo zakutoshaUnaweza kushangaa mtoto wa mjomba akatoa pesa za Tanganyika kuwapa pole.