Majaribio ya Mifumo ya Umeme Katika Reli ya Kisasa (SGR) Dar es Salaam - Morogoro MOROGORO

Tangazeni intensively locally na kwenye media kubwa na ndogo, bado kuna uwazi ambao watu wanaweza kuingia na kudhurika.

Mkiweka siasa na ktk hili mtaua kwa uzembe!

Please, spare mpk mifugo yetu as hata mbuzi akifa ni bonge la hasara, maisha magumu jamani!
 
Asante kwa tahadhari wale mnaopenda Kunya kwenye mataaluma ya reli mguu mmoja mnatanua mnauweka taaluma la kulia mguu mwingine taaluma la kushoto mkinya katikati ya reli msije sema hamkuonywa umeme ukiwanasa kwenye makalio yenu msije kupiga yowe humu .kaeni mbali
 
Asante kwa tahadhari wale mnaopenda Kunya kwenye mataaluma ya reli msije sema hamkuonywa umeme ukiwanasa kwenye makalio yenu msije kupiga yowe humu .kaeni mbali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tumechoka kusikia hbr za majaribio mlisema mwezi wa 4 reli itaanza kufanya kazi imekua tena majaribio !!
 
Hakika watafanya majaribio yote kwenye hii section ila baada ya Majaribio hayo eneo hili litakuwa White elephant Kwa miaka mingi!!! Na mwenye macho na asome haya!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Dubai Metro au Gautrain hujenga ukuta/madaraja kuzunguka miundo mbinu. Hapa kwetu tujiandae kuzika vibudu mfululizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…