Wanaweza kukamata raia mi polisi tu na kwa maeneo ya shughuli za jiji na mgambo wao.
Raia mwengine hana mamlaka wala hakuna sheria ya wewe kukubali kukamatwa nao.
Cha kukufanya ni kogoma kuwasikiliza na kuondoa gari. Wakinisha wabamize gari ukitowe .
Imekua desturi kila mwizi anaweka road block na kukamata magari.
Tufike mahali tuseme no.
Hivyo nakushauri usikubali kukamatwa au kusimamishwa na mtu ambaye sie polisi au mgambo wa jiji.
Una haki ya kukataa kikatiba .
Akikataa mmoja na wengine wote wakikataa hawa vibaka majembe kampuni ya Sumaye hii ni wizi mtupu.
Hivyo musikubali kukamatwa nao mwambie huna amri ya kunikamata na akikufanyia fujo ondoa gari kwa nguvu.
Ujinga huu kila ikikaribia uchaguzi ndio unazidi watu wanatuibia kwa vile serikali imelala na huwa haijali tena