Rais wenu mwizi, kila siku walikuwa wakiulizwa hela za Okwi wanajibu hawajapata kumbe alikuwa anazihamishia kwa akina Chung Chang!
Blagnon (katikati) akisaini Mkataba wa Simba SC. Kulia Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi, Collin Frisch na kushoto Rais wa klabu, Evans Aveva
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya kuachiwa kwa dhamana, Rais wa Simba Sc Evans Elieza Aveva jioni ya leo amewasainisha mikataba wachezaji watano wa kigeni.
Aveva alishikiliwa na Polisi, kituo kidogo cha Mabatini, Kijitonyama, Dar es Salaam kuanzia juzi hadi jana kwa tuhuma za kuhamishia fedha za klabu katika akaunti yake binafsi.
Baada ya kuachiwa, Aveva leo amewasainisha mabeki Janvier Besala Bokungu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Method Mwanjali kutoka Zimbabwe, kiungo Mussa Ndusha kutoka DRC pia na washambuliaji Frederick Blagnon kutoka Ivory Coast na Laudit Mavugo wa Burundi.
Hata hizo za MO zitahamishiwa kwa Chung Chang
Blagnon (katikati) akisaini Mkataba wa Simba SC. Kulia Mwenyekiti wa Kamati ya Ufundi, Collin Frisch na kushoto Rais wa klabu, Evans Aveva
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya kuachiwa kwa dhamana, Rais wa Simba Sc Evans Elieza Aveva jioni ya leo amewasainisha mikataba wachezaji watano wa kigeni.
Aveva alishikiliwa na Polisi, kituo kidogo cha Mabatini, Kijitonyama, Dar es Salaam kuanzia juzi hadi jana kwa tuhuma za kuhamishia fedha za klabu katika akaunti yake binafsi.
Baada ya kuachiwa, Aveva leo amewasainisha mabeki Janvier Besala Bokungu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Method Mwanjali kutoka Zimbabwe, kiungo Mussa Ndusha kutoka DRC pia na washambuliaji Frederick Blagnon kutoka Ivory Coast na Laudit Mavugo wa Burundi.
Tu najipanga ili mwakani mcheze first division leagueJamani nitajieni kikosi kizima cha Simba mwaka huu maana naona nyumba ya jirani imeanza kuungua hadi wameitana leo kujiuliza msimu huu watoje
unamkumbuka mafusango, sunzu, walikuwa na umri gani? unakumbuka wakivyo wasumbua.. je kikosi chenu wachezaji wa kimataifa wastani wa umri upi?Wachezaji wote hapo no over 29
Kocha - Joseph OmogLabda majembe auction mart
Kila la kheri watani tutakutana uwanjaniKocha - Joseph Omog
Wachezaji wote watakaowatumia
katika msimu wa
2016/2017.
Magolikipa:
1. Vincent De Paul Angban*
2. Peter Manyika
3. Denis Deonis
Beki wa kulia:
4. Hamadi Juma: Coastal
Union
5. Salum Kimenya: Prisons
Beki wa kushoto:
6. Mohamed Hussein
7. Abdi Banda
Mabeki wa kati:
8. Novaty Lufunga
9. Juuko Murushid*
10. Emmanuel Simwanza-
Mwadui FC
11. Janvier Besala Bokungu*
Viungo:
12. Jonas Mkude
13. Awadh Juma
14. Justice Majabvi*
17. Saidi Ndemla
18. Mwinyi Kazimoto
19. Mzamiru Yassin: M.Sugar
20. Mohamed Ibrahim: M.Sugar
21. Mussa Ndusha*
Winga:
22. Peter Mwalyanzi
23. Jamal Mnyate – Mwadui
24. Shiza Kichuya – M. Sugar
25. Hassan Kabunda –
MwaduiFC
Washambuliaji:
26. Ibrahim Hajibu
27. Daniel Lyanga
28. Haji Ugando
29. Mbaraka Yusuf – K.Sugar
30. Laudit Mavugo *
31. Blagnon Goue Frederic *
32. Ame Ali – Azam FC
33. Method Mwanjari*
Tafuteni nafasi nyingine siyo hiyo moja...Kila la kheri watani tutakutana uwanjani