Majeneza mengine bana...

RayB

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2009
Posts
2,751
Reaction score
200
Full JF ndani na music ya kufa mtu

 

Attachments

  • 149880_140597269324083_100001214312304_222770_1689681_n.jpg
    43.3 KB · Views: 415
Full JF ndani na music ya kufa mtu


Duuh, yaani unaendelea kuoza huku ukiendelea kuburudika na mziki na kupata updates za duniani kupitia interne. Bonge la invention th! th! th!
 
Hili lazima ufufuke mwanangu
 
Ndo maendeleo, next wataweka na CD's za movies!!!
 
hii wezi wakiii ikuta kwa nyumba wala hawaichukui
 
kwa hali hii heheeh karibuni JF itapatikana mpaka makaburini.
 
Hii kali wezi watakuwa wanashinda makaburini.....maana hilo jeneza ni dili tayari...
 
Nafikiri wamefunga kitu kama CCCTV camera kuona kama ngoma inaweza ikaamka!! vipi yanapatikana supermarket gani? vipi wanatoa promotion msimu huu wa sikukuu??? pls details
 
Upuuzi mtupu, mnapamba jeneza, wakati mtu huyo alipokuwa hai mlishindwa hata kumjengea nyumba nzuri. Si ajabu huyu alikuwa anakaa barabarani kuomba, halafu akifa mnajifanya kumjali. Dont you know kwamba maiti ni sawa na jiwe, au gogo? Kumzika kwa jeneza la almasi au dhahabu kunasaidia nini? Upuuzi mtupu.
 
mmmmmhhhhhh ubaya mziki utakuwa sauti kubwa sana na hautasikia kitu...
na kama hiyo pembeni ndo flat screen TV umechemsha kwa sababu macho hayata funguka,,,:rip::rip::rip:
 
hapo malaika anakuambia ingia mbinguni mwanangu we upo tu na mziki nz jf wala humsikii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…