M Malyamungu JF-Expert Member Joined Jul 5, 2009 Posts 363 Reaction score 12 Dec 4, 2010 #21 AK-47 said: Hili lazima ufufuke mwanangu Click to expand... Vituko vya mastaa jamani.
Amoeba JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 3,288 Reaction score 791 Dec 4, 2010 #22 Hilo siyo jeneza jamani, ni enthusiast mmoja amekaa na kuunda pc ya kufanana na jeneza!
BABA JUNJO JF-Expert Member Joined Nov 9, 2010 Posts 241 Reaction score 14 Dec 4, 2010 #23 Ni wendawazimu, kutojua maana kifo ni upotezaji wa rasilimali.
M mams JF-Expert Member Joined Jul 19, 2009 Posts 614 Reaction score 30 Dec 4, 2010 #24 Ni yale yale, bora kutokuwa na hivyo vyote lakini uko hai kuliko kuwa hivyo vilivyoonyesha but dead!
Mgombezi JF-Expert Member Joined Mar 23, 2009 Posts 610 Reaction score 181 Dec 4, 2010 #25 Ubunifu wa namna hii ndiyo unaohitajika katika jamii yetu, hata kama siyo kwa teknolojia ya computer. Tuachanane na kujadili mambo ya UDINI.
Ubunifu wa namna hii ndiyo unaohitajika katika jamii yetu, hata kama siyo kwa teknolojia ya computer. Tuachanane na kujadili mambo ya UDINI.
drphone JF-Expert Member Joined Sep 29, 2009 Posts 3,542 Reaction score 290 Dec 4, 2010 #26 utaukiwekwa kwnye jeneza la aina gani ww ni udongo tu na udongoni utarudi tu ww
JoJiPoJi JF-Expert Member Joined Aug 8, 2009 Posts 2,935 Reaction score 3,346 Dec 4, 2010 #27 mmh hii kali...
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 200 Dec 4, 2010 Thread starter #28 Ila kama mmegundua hapo tatizo ni moja tu mouse na earphones ziko nje sasa sijui wa nje wanamcontrol wa ndani au hii ni stle ya music system tu
Ila kama mmegundua hapo tatizo ni moja tu mouse na earphones ziko nje sasa sijui wa nje wanamcontrol wa ndani au hii ni stle ya music system tu
father-xmas JF-Expert Member Joined Mar 23, 2010 Posts 971 Reaction score 1,117 Dec 4, 2010 #29 bado sijaielewa vizuri hii........!
babalao Forum Spammer Joined Mar 11, 2006 Posts 427 Reaction score 59 Dec 6, 2010 #30 Ni kujidanganya kwa binadamu kwani huko wanakoenda waliokufa hakuna aliyerudi kuja kutuambia kuna nini hata ukimweka marehemu kwenye jeneza hili haisaidii ameondoka hajui kitu kinachoendelea.
Ni kujidanganya kwa binadamu kwani huko wanakoenda waliokufa hakuna aliyerudi kuja kutuambia kuna nini hata ukimweka marehemu kwenye jeneza hili haisaidii ameondoka hajui kitu kinachoendelea.