majengo makubwa TZ

majengo makubwa TZ

mama dunia

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2011
Posts
420
Reaction score
84
Hi Wanajamvi, mie nimekuwa nikishangaa kila siku majengo mengiii tena mazuri na yakuvutia yamekuwa yakiongezeka kila kukicha lakini ze kodi kubwa balaa, kwanini? yaani utakuta wanapangisha sq moja dola 25 mara 17 nk sasa ndo sielewi wanapata wateja wakutosha ama? maana naona mengine bado yapo empty so why wanafanya hivi? au ndo kutaka kurudisha gharama za ujenzi haraka ama ni nini?
 
It's just crazy!

it is more than that. Nadhani ni uchochoro wa kuponda pesa kwenye mashirika ya pension na hata mabenki kwa kizingizio cha investment. Kama kweli wanafanya investment wangejikita pia katika ujenzi wa makazi bora au low cost housing.
 
Very expensive that means room ya sq m 36 ni sawa na usd 750 ambayo ni zaid ya 1m.
 
bei kweli kwahali ya kawaida si rahisi kuafford, halafu siku moja tuliulizia pale zahara tower nilipigwa butwaa jibu nililopata toka reception eti hatupangishi mtu tofauti na mhindi etc, hahah nilijikuta nacheka ingawaje niliona mzungu pia yumo mle
 
Back
Top Bottom