Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,380
TATIZO LA TANZANIA "Standing Order" zote za Majeshi na Utumishi wa Umma zinawataka kuwa wanachama wa CCM tu.
1. Hili ndilo limeniondoa Utumishi wa Umma na ndio sababu WATUMISHI wa Umma wameniwekea Vikwazo vya Kijinga kwa masilahi ya kijinga Sana.
2. Mtumishi lazima uisapoti CCM kwa Kanuni hiyo ya Standing Order.
3. Majeshi yote hasa Maafisa lazima uwe Mwanachama wa CCM lasivyo hata uafisa utavuliwa, ndio maana Polisi wanatetea CCM tu muda wote na kuwatisha Wapinzani. Hicho wanachosema ni kufuata Standing Order ya Utumishi wao na kulinda ajira zao.
4. Prison Standing Order ya Magereza, General Standing Order ya Polisi, Civil Standing Order ya Wafanyakazi wa Serikali na Judicial Standing Order ya Mahakimu zinazungumzia kuilinda CCM na sio kuilinda Serikali. Labda Kama wamefanyia marekebisho. Ukumbuke kuwa Chama kingine kinaweza kukamata Dola, je mtarekebisha Tena Kanuni za Utumishi muanze kulinda Chama kipya badala ya serikali?
5. Don Nalimison WATUMISHI WOTE wa Umma miaka yote wananipinga na kuni haribia maisha yangu kwa kuwa nimekuwa na pingana na Kanuni zilizooza za tangu mwaka 1977 ilipoanzishwa Chama Cha Mapinduzi. Kazi kweli kweli. Mimi sio poyoyo la kufuata Kanuni Batili.
DON NALIMISON
Simu: 0682 94 27 01.
E-mail: donnalimison70@gmail.com
1. Hili ndilo limeniondoa Utumishi wa Umma na ndio sababu WATUMISHI wa Umma wameniwekea Vikwazo vya Kijinga kwa masilahi ya kijinga Sana.
2. Mtumishi lazima uisapoti CCM kwa Kanuni hiyo ya Standing Order.
3. Majeshi yote hasa Maafisa lazima uwe Mwanachama wa CCM lasivyo hata uafisa utavuliwa, ndio maana Polisi wanatetea CCM tu muda wote na kuwatisha Wapinzani. Hicho wanachosema ni kufuata Standing Order ya Utumishi wao na kulinda ajira zao.
4. Prison Standing Order ya Magereza, General Standing Order ya Polisi, Civil Standing Order ya Wafanyakazi wa Serikali na Judicial Standing Order ya Mahakimu zinazungumzia kuilinda CCM na sio kuilinda Serikali. Labda Kama wamefanyia marekebisho. Ukumbuke kuwa Chama kingine kinaweza kukamata Dola, je mtarekebisha Tena Kanuni za Utumishi muanze kulinda Chama kipya badala ya serikali?
5. Don Nalimison WATUMISHI WOTE wa Umma miaka yote wananipinga na kuni haribia maisha yangu kwa kuwa nimekuwa na pingana na Kanuni zilizooza za tangu mwaka 1977 ilipoanzishwa Chama Cha Mapinduzi. Kazi kweli kweli. Mimi sio poyoyo la kufuata Kanuni Batili.
DON NALIMISON
Simu: 0682 94 27 01.
E-mail: donnalimison70@gmail.com