Majeshi yetu Comoro: Who is responsible?

Status
Not open for further replies.

Heshima ni kitu cha bure.

Heshima ni kuto sema matusi majukwaani, lakini kufanya vitendo vya matusi vya kuwafanya watanzania wajinga hilo si sehemu ya heshima ni kitu cha bure?

Yule jamaa kamwita Pres mjinga umemrudishia hayo maneno na kumwita yeye mjinga. Kwa hiyo ni ruksa kwako kumwita mjinga na mzembe mtu aliye mwita rais mjinga?

Tunaingilia mambo ya nchi nyingine hilo liko clear.
Sehemu ya umasikini wetu imechangiwa na tabia ya kuingilia mambo ya nchi nyingine.

Tunatoa misaada Comoro kwa malipo gani?
USA wamevamia Iraq na Afganistan ku control Middle East na Oil Buss.
Sisi Comoro tunafuata nini na umasikini wetu huu wa kunuka? Biashara a vitunguu?
 
Comoro kunani? maana baada ya JK tu kuingia madarakani kau balozi kakafunguliwa pale karibu na coco beach, nasikia ile nyumba alikuwa anakaa mwanajeshi fulani. Guess who is Balozi Islam Balhabou(yule mwenye Tanganyika Oil(TIOT). Baada kama ya mwaka Balozi wa Camoro kaunda kampuni inayoitwa Dar Cement na ikanunua kale ka kiwanda ka Land Rover Mbagala. Kule alipokuwa swaiba wangu Leonard Tenga(Rais wa TFF) na kuanzisha kiwanda kipya cha Cement. Na balozi huyu anatamba hiyo ni joint venture ya rais wetu na yule wa Comoro na wana order ya 100% ku supply Comoro. Sasa kama business patner anakuwa threaten si lazima uingilie? Ni mtizamo wangu tu kwa upande tofauti?
 
Thats why i like JF
 
Vipi Balahau Kubwa-jinga. Naona unachanganyikiwa.
Tatizo lako unachukua issue na halafu unaangalia majina. Walioamua kupeka majeshi waone kuwa ni Rais ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu. (Kwa muibu wa maelezo yako)labda kwa kushauriana na MD na Waziri wa Mambo ya Nje. Sasa Kubwajinga, ulitaka wawe nani tena-Wasomi wako ambao ni Makatibu Tarafa na Makatibu Kata. Jenga hoja Balahau.
 
Mbona huu ni mwanzo tu wakupeleka majeshi nje... kuna mengi yanakuja hasa ukichukulia kuwa watanzania wamekubali kupewa net za mbu na Joji Kichaka na kusaini mkataba ambao ni watu wachache tu hapo ikulu wanajua nini kimeandikwa hapo ndani (hasa yale maandishi madogo - fine print).
 



Maswali haya ungetegemea kupata majibu walau kwenye WEBSITES za IKULU,/FOREIGN kwa sababu hakuna mtawala kati ya watawala wetu ambaye ana guts za kuwaface watu ili kuweka records straight

but dont bet on it kwani serikali yetu inapenda kuwa mbali sana na wananchi
 


mhhh haya looks like there is more than meets the eye
 
Tanzanai we fought Idd Amin simplu because Obote was a chosen guy by Mwalimu then vita ikaleta balaa Tanzania hadi sasa.Comoro sasa tuna anza kusema tunalinda amani the same time kuna maneno kwamba ametakiwa ku surrender na wanaenda kumkamata apelekwe Mahakamani .

Kuna ukwel upi hapa ?
 
Game Theory,

..Kikwete ana biashara ya kupeleka ngombe Comoro. Lazima ahakikishe kuna amani ili biashara yake istawi.

..Raisi wa Tanzania halazimiki kupata ridhaa ya bunge ikiwa ameamua kupeleka majeshi vitani. Tunaweza kudai marekebisho ya katiba kwa suala hilo.

..Kinachonikera mimi ni kwamba askari hao wangeweza kutumika hapa nyumbani kuongeza doria. kuna matatizo mengi tu ikiwemo ujambazi, madawa ya kulevya,uvuvi haramu etc etc.
 
(about KAGERA)NALO NI JIBU.........! LAKINI kunapokuwa na majibu mengine nayo yawekwe.....mfano swali linauliza..WHY MAJIMAJI FAILED?
ANSWER: (a)poor ideaology
(b)disunity
(C)poor weapons
etc.......................SASA KUHUSU VITA VYA KAGERA APART FROM USWAHIBA WAO........ (a)amin hakuvamia Kagera?
(b)hakuuwa watu wetu?
(C)unakumbuka1971?
(D)haKuuwa na kutesa waganda??
(e)Je OAU na UNO hawakuambiwa wamkanye?............!
ON THIS I BEG TO DIFFER WITH YOU......WE HAD TO FIHGT THE WAR.....!
 
Yaani tu hapo Commoro ndio mnapiga kelele eeeenhh !
kwani wanajeshi ambao wapo Congo wanaofanya kazi na Kakao
Kabila wakati wanaondoka mliambiwa waache waende tu, Sio kukaa pale Lugalo na kuwapiga wafanyakazi wa DAWASCO kwani misuli inawauma !
 


FMES,

Ujinga= Stupidity

Stupidity
- Is the quality or condition of lacking intelligence, as opposed to being merely ignorant or uneducated. This quality can be attributed to both an individual or a person's actions, words or beliefs, or those of a group. It implies that the attributed party is not mentally retarded but rather is willfully ignorant and/or unintelligent, and displays poor use of judgement or insensitivity to nuances.

Uzembe = Negligence/Incompetency

Incompetency
- The lack of ability, knowledge, legal qualification, or fitness to discharge a required duty or professional obli- gation.

Negligence - Failure to exercise the degree of care expected of a person of ordinary prudence in protecting others from a risk of harm. The doctrine of negligence does not require the elimination of all risk, but rather only foreseeable and unreasonable risk.

Britannica

Kwa maamuzi aliyofanya JK utaamua mwenyewe na kujaza kama hayo maneno yana-m-qualify kwenye hayo matendo au la, kwangu mimi ana overqualify. Mengine nafikiri wana-JF wameshakupasha
 
Kubwajinga,

Bwana unadhani majeshi yanapelekwa!!! system nzima ya jeshi, wizara ya ulinzi, wizara ya mambo ya nje inajadili kwanza... Rais hakurupuki tu!

Si ndio hao hao waliomshauri kuhusu richimod,na yeye akawanadi utafikiri ni mgombea mwenza.sasa hata kupita karibu na tanesco anaona noma.
Hivi tutafungua macho lini,huyu kilaza wetu yakiharibika mtasema kashauriwa vibaya kumbe hamnazo.
 
.........taarifa zinazotoka kutoka uwanja wa ndege wa kijeshi ...leo zimerudishwa MAITI MBILI.....ZA MASHUJAA WETU..tuendelee kufuatilia....
 
Toba yarabi.. sasa tusije kuwa ndio tumejiingiza katika Iraq ya kwetu au Afghanistani.. Mungu awalaze pema peponi. Amin
 
.........taarifa zinazotoka kutoka uwanja wa ndege wa kijeshi ...leo zimerudishwa MAITI MBILI.....ZA MASHUJAA WETU..tuendelee kufuatilia....
Habari muhimu sana hii ndugu, uwezi kuiweka hivi bwana, weke vielelezo please, ili tuijadili kwa kina na tujue cha kufanya
 
Habari muhimu sana hii ndugu, uwezi kuiweka hivi bwana, weke vielelezo please, ili tuijadili kwa kina na tujue cha kufanya

Haya sasa wacha serikalio iendelee kuwatunza familia zao .Mimi I warned you over the weekend mkaja na maneno meengi eti kulinda amani .Membe unalinda amani na kutaka kumkamata mtuhumiwa ?Wacha tuendelee kuzika sasa then tuta hoji .Wabunge wa Upinzani na Watanzania amke mkatae haya .
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…