Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
DAWASA mna shida gani maji hayatoki maeneo mengi ya Dar es Salaam na mmekaa kimya tu hamsemi shida ni nini wala hamjatupa angalizo kuwa mnakata maji
Ni takribani wiki sasa maji hayatoki maeneo ya Masaki bila taarifa yoyote. Tunaomba mseme shida ni nini
Sio Masaki tu sehemu nyingi kama vile maeneo ya Mtongani pia hakuna maji kwa wiki moja sasa.
Sio sawa kukata maji bila kuwapa watu taarifa ili wajiandae. Natumaini mtashughulikia swala hili kwani tunateseka kununua maji ya visima kwa gharama
Ni takribani wiki sasa maji hayatoki maeneo ya Masaki bila taarifa yoyote. Tunaomba mseme shida ni nini
Sio Masaki tu sehemu nyingi kama vile maeneo ya Mtongani pia hakuna maji kwa wiki moja sasa.
Sio sawa kukata maji bila kuwapa watu taarifa ili wajiandae. Natumaini mtashughulikia swala hili kwani tunateseka kununua maji ya visima kwa gharama