UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Januari ndiye mhujumu namba moja, shamba sana huyu jamaa.Sasa hivi wanasemaje? Hizi mvua kubwa zinazoendelea zisitupite hivi hivi, lasivyo itabidi tusubiri hadi mwakani.
Kwani wabunge wetu wameshindwa kuisimamia serikali kwenye suala hili muhimu kwa kutoa azimio kwa niaba yetu? Jee tumuombe Dr Musukuma kwenye kikao hiki cha bunge akatoe hoja ya ku move motion ya suala hili muhimu kuepusha uchumi wa nchi yetu kuondolewa kwenye orodha ya middle income country? Hii itawathibitisha watanzania kuwa ile PhD aliyoipata haikuwa ya mchongo. Na hii itatuonesha nguvu ya speaker wetu mpya ya bunge kuikosoa na kuisimamia serikali kama ilivyo kwa mjibu wa katiba kama alivyojaribu mtangulizi wake kwa cost kubwa kwake.Halizungumzwi sana!
Mvua zimekataaWamefanya predictions kwamba kutakuwa na mvua za mafuriko mfululizo....huu nauchukulia kama utabiri wa hali ya hewa.
Mvua isiponyesha watajaza Mani ya kutoka wapi?Waziri wa nishati mh Medadu amesema mradi wa umeme bwawa la Nyerere kuanza kujazwa maji November 15.
Kalemani amesema hayo alipotembelea mradi huo akiwa ameongozana na waziri wa nishati wa Misri ambaye amesema bwawa litakuwa limejaa 13/04/2022 na majaribio ya mitambo ya kuzalisha umeme yatafanyika.
CHanzo: ITV habari
Hatuna Wabunge Bali tuna Wajumbe wa vikao vya CCM.Kwani wabunge wetu wameshindwa kuisimamia serikali kwenye suala hili muhimu kwa kutoa azimio kwa niaba yetu? Jee tumuombe Dr Musuma kwenye kikao hiki cha bunge akatoe hoja ya ku move motion ya suala hili muhimu kuepusha uchumi wa nchi yetu kuondolewa kwenye orodha ya middle income country? Hii itawathibitisha watanzania kuwa ile PhD aliyoipata haikuwa ya mchongo.
mvua usiponyesha ntakula wapi utalimia gesi,mvua zipoMv
Mvua isiponyesha watajaza Mani ya kutoka wapi?
So umeme wa maji ulishapitwa na wakati.
Wacha weee !!Waziri wa nishati mh Medadu amesema mradi wa umeme bwawa la Nyerere kuanza kujazwa maji November 15.
Kalemani amesema hayo alipotembelea mradi huo akiwa ameongozana na waziri wa nishati wa Misri ambaye amesema bwawa litakuwa limejaa 13/04/2022 na majaribio ya mitambo ya kuzalisha umeme yatafanyika.
CHanzo: ITV habari
Sahihi sana NyumisiWamefanya predictions kwamba kutakuwa na mvua za mafuriko mfululizo....huu nauchukulia kama utabiri wa hali ya hewa.
Yule Shetani karudi kwao ushetaniniAlale pema peponi magufuli
Mvua zipo but kuna climate change (mabadiliko ya tabianchi).mvua usiponyesha ntakula wapi utalimia gesi,mvua zipo
Palipo na mapepo hapajawahi kuwa pema!!Alale pema peponi magufuli
Pandianeni tu .....bwasheeWaziri wa nishati mh Medadu amesema mradi wa umeme bwawa la Nyerere kuanza kujazwa maji November 15.
Kalemani amesema hayo alipotembelea mradi huo akiwa ameongozana na waziri wa nishati wa Misri ambaye amesema bwawa litakuwa limejaa 13/04/2022 na majaribio ya mitambo ya kuzalisha umeme yatafanyika.
CHanzo: ITV habari