KERO Maji machafu yenye harufu na kinyesi soko la Mlango Mmoja Mwanza

KERO Maji machafu yenye harufu na kinyesi soko la Mlango Mmoja Mwanza

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kila mvua kubwa inaponyesha kumekuwa na changamoto ya kufurika kwa vyoo lakini pia chemba kuzbuka na kumwaga maji machafu sokoni. Hii inatokana na chemba kuelekezwa mto mirongo.

Hivyo mto ikiwa na maji mengi basi ndani ya soko pia ni shida.

Tunaomba kusaidiwa kwani viongozi wa soko wanajua na Halmashauri ya Nyamagana wanajua hilo lakini halifanyiwi kazi.
 
Back
Top Bottom