Heshima kwenu,
Mama watoto wangu ni mjamzito,huu ni uja uzito wa pili,ameanza kliniki kwa wakati.
Mara ya mwisho kwenda kliniki ameambiwa apime Ultra Sound.
Daktari wa ultra sound amemwambia ana maji mengi saana na ndio maana tumbo limekuwa kubwa na si mtoto mkubwa kama tulivyofikiria .
Nini madhala ya kuwa na maji mengi kwa mama mja mzito.
Na nini tufanye ili mama watoto aweze jifungua salama?
Naomba msaada wenu kwa wenye kujua
Natanguliza shukurani.