CHATERISTBOY
Member
- Jan 27, 2013
- 26
- 15
Tatizo limeanza 2006 4m4
2008 zilitolewa lenzi na kuwekwa za vioo na kupewa miwani kila baada ya miezi kadhaa naandikiwa namba ya lenzi kubwa kwa maana ya uono hafifu pia maji yamepungu jichoni wadau naona karibu mbali naona kivuli tu
Wakati nafanyiwa upasuaji niliwekewa maji asa mi sio mtaalam ila jicho inasemekana likipunfua au kuzidi maji ni shidaUnamaanisha nini maji ya jicho yanapungua?
Nipo mkoa wa mbeya Mbarali namba yangu ya simu in 0753273288 email yangu ni mgendaena@gmail.comPole sana mkuu, unapatikana wapi? unaweza kuniandikia kupitia fadhilipaulo@gmail.com tukaelezana mengine zaidi.
Hapa bado tena napata shida mnoMkuu tangu 2013 hujapata nafuu? Jicho bado lina uono?
Inabidi nipime huo ugonjwaKama tatizo ni glaucoma hapo ndipo utaiona serikali ni ya kiovu!!!!!
Maana dawa sahihi ni Bange.
Glaucoma kwa kiswahili unaitwa "presha ya macho"Inabidi nipime huo ugonjwa
Nilishawahi ambiwaninayo presha ya machoGlaucoma kwa kiswahili unaitwa "presha ya macho"
Ndio glaucoma mkuu, huwa wanafanya operation ikiwa utawahi.Nilishawahi ambiwaninayo presha ya macho