Maji ni Uhai

Maji ni Uhai

Mpagama

Senior Member
Joined
Jan 9, 2011
Posts
127
Reaction score
7
Tafsiri yake ni nini, Mtoto huyu ni mtukutu au alimuonea huruma m-sure baada ya kuzidiwa na kilaji alichokuwa akipata hapo alipokaa?
 

Attachments

  • funniest-picture.jpg
    funniest-picture.jpg
    64.4 KB · Views: 223
Hahah hahha mambo ya kucheza na mdingi safi sna tatizo madingi yetu akili zipo bar au kuchakachua nyumba ndogo lol
 
haha dingi anacheka but fikiria ukimfanyi dingi wa bongo sijui atakukufanya... sipati picha yani
 
Back
Top Bottom