...........maji pipa tano kwa mikono toka mtoni!!!

...........maji pipa tano kwa mikono toka mtoni!!!

Akili Kichwani

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
1,508
Reaction score
220
.........nichote maji pipa tano kwa mikonoo,
kutoka mtoni,
fikiri,
nitaweza vipi!!

kiitikio:
Amina kipenzi changu
mimi sitaweza,
agizo la wazazi wako linaniwia vigumu...............

(kasauti ka loviii kaningilia)
pendekezo langu mama
kukupata wewe amina,
masharti niliyopewa na wazi wako
sitaweza.............

Amina kipenzi changu
mimi sitaweza,
agizo la wazazi wako linaniwia vigumu...............


jamani mniwie radhi, ...................huu wimbo siukumbuki vizuri, ..................nakumbuka ulipigwa na super lovii kama sikosei................ (wakongwe mtanisahihisha)............. nimeusaka youtube, hakuna kitu............... naomba jamani kama kuna mtu ana clip yake hata audio tu, atuwekee jamani, tuburudike................ hata lyrics zitafaa kama clip itakuwa issue................. dah, OLD IS GOLD!!!!!!!...........
 
Back
Top Bottom