Jamani hii speed ya upandishaji ya bei ya maji ya uhai inatisha. Hivi mbona wanatuchukulia poa sana hawa watu sisi watz!!!! Mwaka jana mwishoni uhai lt 6 ilikuwa 1400, then mwezi baadaye ikapanda mpaka 1600. Cha ajabu week ilopita yamepanda mpaka 2200. Yaani hu uongozi wa ccm hii nchi imewashinda na natamani wote wafe ili tupate viongozi bora haijalishi wanatoka chama gani. I have from my heart this JK's gvt.
Hivi hii nchi tunapelekwa wapi jamani? Maisha magumu jivi tutakimbilia wapi sisi?
Na bado!!! ha ha ha haaaa!!!.
Magazeti juu.
umeme juu
gesi juu
Bia juu juu juu kabisa
Nauli juu
unga juu
...........
..........
............
Na bado!!! ha ha ha haaaa!!!.
Magazeti juu.
umeme juu
gesi juu
Bia juu juu juu kabisa
Nauli juu
unga juu
...........
..........
............
Na bado!!! ha ha ha haaaa!!!.
Magazeti juu.
umeme juu
gesi juu
Bia juu juu juu kabisa
Nauli juu
unga juu
...........
..........
............
Na bado!!! ha ha ha haaaa!!!.
Magazeti juu.
umeme juu
gesi juu
Bia juu juu juu kabisa
Nauli juu
unga juu
...........
..........
............
mwanangu usije mjini siumeona hapo juu mwenyewe...