Bendera kawaida ni utambulisho wa jumuia fulani au nchi na ni kitu cha heshima kabisa kwa jumuia au nchi inayohodhi bebdera hiyo. Kwa hiyo mtu anaposema amekunywa maji ya bendera ni kumaanisha kuwa yeye ni mtiifu sana kwa jumuia au chama kile kwa kiingereza watu kama hawa wanaitwa "die hard" wa jumuia na kama ni chi ndio hao wanaitwa "wazalendo halisi"