Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu kwema,
Maji yamekuwa yakitoka machafu kwa muda sasa, sasa hivi hali inazidi kuwa mbaya, maji ni machafu sana mpaka yanatia mashaka kwenye usalama wake, mbali na kuwa machafu kama hivi yana harufu mbaya pia kama vile kuna kitu kimeoza, japokuwa siyo strong sana lakini unaipata.
Kama maji tunayotumia ndio yana hali hii tutanusurika na magonjwa kweli? Nahofia inaweza kuwa tunakusanya magonjwa taratibu bila kujua maana unafungua bomba hata nusu saa maji yanayotoka ni machafu, mwishowe unaamua zako kutumia tu maana na bili inahesabika hapo
Ni sawa kulipishwa bili kwa maji haya kweli? Na maji unayofungulia ili yawe masafi si kwamba huyalipii, bili inasoma kama kawaida.
DAWASA mnatuhujumu wananchi, hii ni Mbezi Beach, maeneo mengine maji yenu yana hali gani, ukute ni pande hizi tu.
Wizara ya Maji
====
Pia soma: Wakazi wa Mbezi Beach tunapata maji ya bomba machafu, na yana harufu mbaya. Mlipuko wa magonjwa unakuja
Maji yamekuwa yakitoka machafu kwa muda sasa, sasa hivi hali inazidi kuwa mbaya, maji ni machafu sana mpaka yanatia mashaka kwenye usalama wake, mbali na kuwa machafu kama hivi yana harufu mbaya pia kama vile kuna kitu kimeoza, japokuwa siyo strong sana lakini unaipata.
Kama maji tunayotumia ndio yana hali hii tutanusurika na magonjwa kweli? Nahofia inaweza kuwa tunakusanya magonjwa taratibu bila kujua maana unafungua bomba hata nusu saa maji yanayotoka ni machafu, mwishowe unaamua zako kutumia tu maana na bili inahesabika hapo
Ni sawa kulipishwa bili kwa maji haya kweli? Na maji unayofungulia ili yawe masafi si kwamba huyalipii, bili inasoma kama kawaida.
DAWASA mnatuhujumu wananchi, hii ni Mbezi Beach, maeneo mengine maji yenu yana hali gani, ukute ni pande hizi tu.
Wizara ya Maji
Pia soma: Wakazi wa Mbezi Beach tunapata maji ya bomba machafu, na yana harufu mbaya. Mlipuko wa magonjwa unakuja