Maji yamekuwa yakitoka machafu kwa muda sasa, sasa hivi hali inazidi kuwa mbaya, maji ni machafu sana mpaka yanatia mashaka kwenye usalama wake, mbali na kuwa machafu kama hivi yana harufu mbaya pia kama vile kuna kitu kimeoza, japokuwa siyo strong sana lakini unaipata.
Kama maji tunayotumia ndio yana hali hii tutanusurika na magonjwa kweli? Nahofia inaweza kuwa tunakusanya magonjwa taratibu bila kujua maana unafungua bomba hata nusu saa maji yanayotoka ni machafu, mwishowe unaamua zako kutumia tu maana na bili inahesabika hapo
Ni sawa kulipishwa bili kwa maji haya kweli? Na maji unayofungulia ili yawe masafi si kwamba huyalipii, bili inasoma kama kawaida.
DAWASA mnatuhujumu wananchi, hii ni Mbezi Beach, maeneo mengine maji yenu yana hali gani, ukute ni pande hizi tu.
Maji yamekuwa yakitoka machafu kwa muda sasa, sasa hivi hali inazidi kuwa mbaya, maji ni machafu sana mpaka yanatia mashaka kwenye usalama wake.
Kama maji tunayotumia ndio yana hali hii tutanusurika na magonjwa kweli? Nahofia inaweza kuwa tunakusanya magonjwa taratibu bila kujua maana unafungua bomba hata nusu saa maji yanayotoka ni machafu, mwishowe unaamua zako kutumia tu maana na bili inahesabika hapo
Ni sawa kulipishwa bili kwa maji haya kweli? Na maji unayofungulia ili yawe masafi si kwamba huyalipii, bili inasoma kama kawaida.
DAWASA mnatuhujumu wananchi, hii ni Mbezi Beach, maeneo mengine maji yenu yana hali gani, ukute ni pande hizi tu.
Ni lini mwafrika ataweza kuwa mstaarabu na kufanya mambo ipasavyo? Tunakimbilia kukopa matrillion kujenga reli za kisasa SGR na mwendokasi wakati tunashindwa tu maji safi na salama. Hata kunya tu hatunyi ipasavyo. Pambaafff!
Maji yamekuwa yakitoka machafu kwa muda sasa, sasa hivi hali inazidi kuwa mbaya, maji ni machafu sana mpaka yanatia mashaka kwenye usalama wake.
Kama maji tunayotumia ndio yana hali hii tutanusurika na magonjwa kweli? Nahofia inaweza kuwa tunakusanya magonjwa taratibu bila kujua maana unafungua bomba hata nusu saa maji yanayotoka ni machafu, mwishowe unaamua zako kutumia tu maana na bili inahesabika hapo
Ni sawa kulipishwa bili kwa maji haya kweli? Na maji unayofungulia ili yawe masafi si kwamba huyalipii, bili inasoma kama kawaida.
DAWASA mnatuhujumu wananchi, hii ni Mbezi Beach, maeneo mengine maji yenu yana hali gani, ukute ni pande hizi tu.