Maji ya chumvi na Mba

Vedasto-Zacharia

Senior Member
Joined
Jun 6, 2014
Posts
113
Reaction score
30
Habari waungwana.

Tofauti na tatizo la kudaiwa hizo B87 mwenzenu nina tatizo la kupata mba kila sehemu yenye nywere kichwani baada ya kuoga maji yenye chumvi Kwa Muda mrefu.

Tafadhali naomba msaada maana ninapokaaa hamna mbadala wa maji ya chumvi.

Sent from IPhone 9 using JamiiForums
 
sasa muungwana,umejuaje tatizo ni MAJI ya chumvi?

Unajipaka mafuta gani mwilini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…