:shock:*ivi kumbe ni inshu kutomuwekea mume maji bafuni??? kaaaazi kweli kweli, poleni wanawake wenzangu mlogeuzwa watumwa na mabwana zenu, sisi wengine tumepata bahati....
Duh! Yaani mnatufanya wanawake kama ni watumwa wa ndoa! Hivi kuna kitu chochote ambacho mwanamke anapaswa kuenjoy kwenye ndoa?! Kufua hadi vyupi,kupika kutumikia penzi mara sijui gogo,mara chai,mama mkwe,ndugu, watoto! Mwanamke role yake ni ipi na mwanaume yake ipi?
Naomba msaada wanaJF. Hivi mwanamke kumwekea maji mumewe bafuni ni wajibu au ni fadhìla tu? Nauliza hivi sababu mke wangu haniwekei maji mpaka nimgombeze au siku akipenda mwenyewe. Siku nyingi nalazimika kujibebea mwenyewe. Nimeshagombana naye mara kadhaa lakini habadiliki. Nifanyeje?
na hutaolewa kamwe otherwise ubadili msimamo wako. Mwanamke mbabe hana nafasi ktk ndoa. Ni wanyenyekevu tu ndio hupata baraka hiyo!
mwee! Na nsiolewe kuliko kufanywa a small punda! Kwani kabla hajanioa alikuwa anaogaje? Narudia, wanaume must take water bafuni wenyewe! Lol!
...kaka, kwani wewe unamuwekea maji ya kukoga?
wajibu na fadhila ni suala la hiari...kila moja lina shurti na hukumu zake
zinazojitosheleza kwa kadri ya maisha mnavyoyachukulia.
Napata picha hapa kuwa hapo ulipo hujaolewa na hujafundwa kwa ajili ya maisha ya ndoa, vinginevyo yasingekutoka maneno ya dharau na kejeli dizain hiyo kwa wanaume! Na wallah nakuapia, kama huo ndio msimamo wako halisi hutakuja pata mume. Utaishia kumegwa na kusherehekea ndoa za mashoga zako tu!
I think ni fadhila tu, kwani hana mikono huyo mwanaume? Kuoga aoge yeye maji apeleke mwingne! Tena anakuamsha alfajiri,mama naniliuh kaniwekee maji nataka kuoga...2mbavu! Wanaume tumewaendekezaaaa, mpaka favors wanaona ni right yao sasa! Kuna mambo yani ukifikiria sana unaweza usiolewe manake ni full utumwa....! Mungu ampe ujasiri wa kuamka na kujitengea maji ya kuoga atakaefanikiwa kunioa otherwise atakuwa anakoma! Lol!
Unapenda ubosi eeh! We kupeleka maji bafuni vinakushinda? Kabla hujaoa ulikuwa unapelekewa na nani?
Acheni kukera na kuchosha wake zenu. Kwanza hata unyumba ni hiari yake akupe au akunyime.
sema kwa sauti ndogo wasikusikie, wachumba wako humux2 JF. Wakikusikia ndoa utaisikia mtaa wa 2 tu!
Jamani Sabri usiseme ivyo,upendo ndio nguzo ya ndoa na kupenda sio kusema i love you,ni matendo madogo.Kwa msimamo huo mwezi mmoja atakukimbia.
isiwe lazima mpaka aje kulalamika huku bhana. Akinyimwa unyumba sawa ila maji? Kweli atabeba ngnja nimpate huyo mume atakoma!