WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Duh! Yaani mnatufanya wanawake kama ni watumwa wa ndoa! Hivi kuna kitu chochote ambacho mwanamke anapaswa kuenjoy kwenye ndoa?! Kufua hadi vyupi,kupika kutumikia penzi mara sijui gogo,mara chai,mama mkwe,ndugu, watoto! Mwanamke role yake ni ipi na mwanaume yake ipi?
Naomba msaada wanaJF. Hivi mwanamke kumwekea maji mumewe bafuni ni wajibu au ni fadhìla tu? Nauliza hivi sababu mke wangu haniwekei maji mpaka nimgombeze au siku akipenda mwenyewe. Siku nyingi nalazimika kujibebea mwenyewe. Nimeshagombana naye mara kadhaa lakini habadiliki. Nifanyeje?
jamani sabri usiseme ivyo,upendo ndio nguzo ya ndoa na kupenda sio kusema i love you,ni matendo madogo.kwa msimamo huo mwezi mmoja atakukimbia.
Umejibu bila kufikir..... mke yuko nyumbani mme ana mizunguko ya kupata hata hizo pesa za matumizi hom kwani yy hachoki majibu ya wanawake wengi ktk hili imenipa picha ya kwa nn ndoa zinawashinda hili ni moja ya jukumu la mwanamke wa kiafrika kwa mmewe