Maji ya madafu hayaambukizi mabusha, mbu ndiye huambukiza.

THE GREAT CAMP

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
765
Reaction score
194
Kuna dhana inayoendelea katika jamii kuwa ukinywa maji ya madafu unaweza kupata ugonjwa wa MABUSHA. Dhana hiyo siyakweli kabisha. MBU aina ya CULEX na ANOPHELES ndiyo wanaoambukiza minyoo inayo sababisha ugonjwa wa MATENDE na MABUSHA.
NJIA ZA KUJIKINGA.
1. Tulale kwenye vyandarua vilivyotiwa dawa
2. Kunywa dawa kinga za Mabusha na matende kila mwaka.
3.Kuharibu mazalia ya mbu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…