Maji ya shingo Great thinkers

kata mawasiliano naye tu! ikibidi badili # ya CM
 
what goes around comes around! Sasa ni wakati wako kulipa! Unajua malipo huwa ni hapahapa duniani. Hata usimuonee huruma kabisa kumumwaga maana hata ukimkubali utajutia tu baadaye!
 
mambo ya watoto,mapenzi ya kitoto tuu,sasa hujui kama unampenda?au unataka tukusaidie kitu gani?chagua au kama unaona huruma waambie utawaoa wote wawili, secong wewe yaelekea unapenda kijinga,unakonda kupenda tu ukiwa mdogo sana, jaribu kuyashape maisha yako kwanza, mapenzi utayakuta tuu,jaribu kuyachukulia moderatelly!!
 



Mwana nimesema kuwa ninaye mpenzi, nampenda sana tu, huyu namchukulia kama rafiki kutokana na heshima niliyojijengea kwa familia yake.
Na swala la mapenzi, sidhani kama yana muda maalum, lakini ndo hivo, kama haijakutokea then mshukuru Mungu mhishimiwa, ila usiombe yakukute.
 
what goes around comes around! Sasa ni wakati wako kulipa! Unajua malipo huwa ni hapahapa duniani. Hata usimuonee huruma kabisa kumumwaga maana hata ukimkubali utajutia tu baadaye!



Siwezi kuwa naye, maana kila nikikumbuka yaliyopita namuona kama mnyama fulani aliyependa kuniona naumia kila wakati.
Kulipa kisasi cha mapenzi siwezi as nitakijutia kwa muda mrefu sana.
 
kwa hiyo wewe hukumtoa hata hiyo bikira ezni hizo, duh pole sana. Na huyo uliyenaye siku akikuacha nadhani unaweza kujinyonga. Any way huyo tayari atakua ni malaya sana, sasa anaweza kukuambukiza na magonjwa na jinsi unavyoonekana ni mdhaifu wa maswala ya mapenzi siku ukikutana nae utashijndwa kukataa kudanya nae mapenzi maana kama umeshindwa kumwambia ukweli kuwa unaye umpendaye, then what?
 
Ah watu wengine bwana, yaani wewe ile kumwambia tu kuwa usinifatefate ulimi unakuwa mzito, wewe mwana wa kiume ndugu yangu-utakumbana na mengi mazito zaidi ya hilo ya kuyatolea uamuzi. Kaza buti hilo.
 

Wizi mtupu!Kama unabisha mpigie simu na umwombe samahani kwa kumtania vibaya.
 
Kama ulikuwa unamtania,endelea pia kumtania kwenye kale kamchezo,coz kale kasehemu Mungu amekipa free will,thats y tunaweza kachezea kama tunavyopenda,lakini kumbuka kuwa utakuwa unamtania hata huyo unayehisi unampenda kweli!!Swali kwako,je ukirudiana naye ukakuta bado bikira utafanyaje?
 
zingatia masomo,sasa ukimrudia huyo za zamani uliyenae sasa utamwambiaje? huoni kwamba utaongeza tatizo juu ya tatizo.jitahidi kuwa mtu wa misimamo na simamia misimamo
 

Siyo bikra tena mrume!!!
 
zingatia masomo,sasa ukimrudia huyo za zamani uliyenae sasa utamwambiaje? huoni kwamba utaongeza tatizo juu ya tatizo.jitahidi kuwa mtu wa misimamo na simamia misimamo

Mkuu umeniquote vibaya, sijasema nataka kumrudia wa zamani, ni jinsi gani ya kumwambia kuwa nilikuwa namtania. Wala siwezi hata kufikiria kumrudia!!
 
Ah watu wengine bwana, yaani wewe ile kumwambia tu kuwa usinifatefate ulimi unakuwa mzito, wewe mwana wa kiume ndugu yangu-utakumbana na mengi mazito zaidi ya hilo ya kuyatolea uamuzi. Kaza buti hilo.


Kuna maneno ambayo yanahitaji moyo sana kumwambia mtu hasa pale unapokuwa na moyo wa huruma kama niliokuwa nao mimi. Inavyoonesha ameshajijengea akilini kwamba nampenda sana, thus inaniwia ngumu kumrudia.
 
We kijana zingatia masomo kwanza, inaonyesha bado haujakuwa mkomavu kwenye masuala ya mapenzi bado. Kwa nini unamtania mtu juu ya masuala ya kimapenzi ULIKUWA UNAMTAMANI NDIYO MAANA. ACHANA NA PEPO LA NGONO, SOMA KWANZA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…