[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Porn star
Anti Muslim..
Kazi anayo
Masheikh na Maimam anakutana nao lini?Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.
Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!
Makanisa ya kiroho ndio makanisa gani kamanda!Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.
Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!
Anatafuta kura za hao maaskofu au anataka maaskofu hao wakawashawishi waumini wao wampigie kura?! Na hilo ni kosa!Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.
Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!
UrohoMakanisa ya kiroho ndio makanisa gani kamanda!
That's what I thought.Uroho
Sisi waislamu tuna hasira nayeAskofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.
Maaskofu hao walikutana Alhamisi iliyopita katika hoteli ya Picolo, iliyoko Kawe jijini Dar es Salaam.
Soma zaidi hapa > Maji ya shingo Kawe: Gwajima akutana na Maaskofu wa Makanisa ya Kiroho kuomba uungwaji mkono - Imevuja!