Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja aliekuwa peku na hajavaa nguo yoyote( yaani alikuwa uchi) alikuwa amesimama kituoni!!!
Abiria!!konda hii daladala inaenda wapi??
Konda posta!!
Abiria akapanda!!
Konda akamkodolea macho sana!!!
Abiria!!!we konda unashangaa nini nini usichokijua??
Konda!!sikushangai wewe nashangaa nauli yangu utakuwa umeiweka wapi!!![emoji12] [emoji12] [emoji12]