Majibu 22 aliyoyatoa Masoud Masoud katika Mkasi...He is Maestro

Majibu 22 aliyoyatoa Masoud Masoud katika Mkasi...He is Maestro

Gang Chomba

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,649
Reaction score
4,786
1. Alizaliwa miaka kadhaa kabla ya uhuru...
2. Kaja dar mwaka 77...
3. Alizaliwa na utangazaji...
4. Alivutiwa na muziki baada ya babake kuupenda muziki...
5. Watangazaji wa sasa hawana General knowledge...
6. Vipindi vya mipasho ni vya upuuzi...
7. Na watangazaji wa mipasho ni wapuuzi...
8. Kumlipa laki moja msanii kwenye show ambayo msanii kutoka nje analipwa mamilioni ya pesa ni kumdhalilisha...
9. Bongo fleva haitadumu...
10. Sauti anayoikubali katika redio ni ya Milad Ayo...
11. Kipindi bora kwenye TV ni mkasi...
12. Mpaka anafika la saba alikuwa hajui kiswahili...
14. Anamkubali sana Aally Kiba...
15. Diamond hafiki hata chembe ya kipaji cha Ally Kiba...
16. Alikacha kuitangaza habari ya kifo cha Laurent Desire Kabila kwa kuwa haikuwa imeandaliwa, japo aliletewa na bosi wake...
17. Anajivunia kuwa TBC...
18. Anajivunia pia knowladge ya muziki alionayo...
19. ameoa mara 3...
20. Mke wake wa mwisho 2005,,,
21. ana watoto 8...
22. Wa mwisho ana miaka 21...
 
salama yeye ameolewa mara ngapi? au yeye ni kuuliza wengine
 
Siku zote nimekua nikiaamini kwamba KIBA ndie msanii mwenye kipaji na sauti tamu zaidi kuliko vijana wengine wanaofanya muziki wa kizazi kipya,nafurahi leo kujua kwamba kuna watu wanaamini hivyo.
Dogo mwengine ambaye kama angekua anajitambua ni MATONYA,ana sauti kali sana ila ndio hivyo dunia inampoteza!!
 
Sasa wanakuja the bettles na album lao la mwaka 1956,hahahaha masoud ni jembe katika tasnia ya habari hasa burudani,vijana wa sasa wajifunze.
 
Binafsi nilikuwa simfahamu Masoud Masoud. Ila nilimkubali kwa uwezo wake wa kujieleza na hata general knowledge aliyo nayo. Siku zote huwa naawaambia watu, kusoma si kujua vitu vilivyoko ndani ya professional yako mbali hata vile vilivyoko nje. Unaona kwamba huyo ni mtu anayejua vitu. Ufahamu huo umwezesha mtu/mtangazaji kufanya analysis nzuri ya vitu na si kuongozwa na hisia. Jambo linalofanywa na wengi na kusababisha vipindi vyao visiwe na mvuto. Pili binafsi nilikuwa naamini Ally Kiba ni msanii mzuri kuzidi wale wanaoshabikiwa sana hapoa Bongo, naye kalidhihilisha hilo.
 
Siku zote nimekua nikiaamini kwamba KIBA ndie msanii mwenye kipaji na sauti tamu zaidi kuliko vijana wengine wanaofanya muziki wa kizazi kipya,nafurahi leo kujua kwamba kuna watu wanaamini hivyo.
Dogo mwengine ambaye kama angekua anajitambua ni MATONYA,ana sauti kali sana ila ndio hivyo dunia inampoteza!!

Nyongeza tu: 1.Kiba 2.Marlow (niliwahi kumsikia kitambo sijui yuko wapi) na yule mtoto wa Morogogo (aliimba masogange).
 
Sasa wanakuja the bettles na album lao la mwaka 1956,hahahaha masoud ni jembe katika tasnia ya habari hasa burudani,vijana wa sasa wajifunze.


vijana wa sasa ni wajeuri, wabishi na hawaambiliki.
Ndo maana wanaigana wao kwa wao matokeo yake unaweza sikiliza stesheni hii ya redio kisha ukahamisha stesheni nyingine ukadhani ni ile ile uliosikiliza mwanzo.
 
Binafsi nilikuwa simfahamu Masoud Masoud. Ila nilimkubali kwa uwezo wake wa kujieleza na hata general knowledge aliyo nayo. Siku zote huwa naawaambia watu, kusoma si kujua vitu vilivyoko ndani ya professional yako mbali hata vile vilivyoko nje. Unaona kwamba huyo ni mtu anayejua vitu. Ufahamu huo umwezesha mtu/mtangazaji kufanya analysis nzuri ya vitu na si kuongozwa na hisia. Jambo linalofanywa na wengi na kusababisha vipindi vyao visiwe na mvuto. Pili binafsi nilikuwa naamini Ally Kiba ni msanii mzuri kuzidi wale wanaoshabikiwa sana hapoa Bongo, naye kalidhihilisha hilo.

Ni Kweli masoud masoud ni noma sana nlimkubali siku nyingi sana.anaweza kujieleza na kujibu alichoulizwa.
 
Siku zote nimekua nikiaamini kwamba KIBA ndie msanii mwenye kipaji na sauti tamu zaidi kuliko vijana wengine wanaofanya muziki wa kizazi kipya,nafurahi leo kujua kwamba kuna watu wanaamini hivyo.
Dogo mwengine ambaye kama angekua anajitambua ni MATONYA,ana sauti kali sana ila ndio hivyo dunia inampoteza!!

Naungana na wewe pamoja ba gwiji Masudx2 kwa 100%
 
Ni Kweli masoud masoud ni noma sana nlimkubali siku nyingi sana.anaweza kujieleza na kujibu alichoulizwa.


Nasikia kuna mtangazaji anaitwa Wasiwasi nani sijui...je unahisi ana uwezo wa kujieleza na kujibu maswali kama alionao Masoud Masoud?
 
masoud masoud ana watoto wazuuriii jamani cc
FaizaFoxy ila hajasema ana wajukuu wangapi?
 
Last edited by a moderator:
Siku zote nimekua nikiaamini kwamba KIBA ndie msanii mwenye kipaji na sauti tamu zaidi kuliko vijana wengine wanaofanya muziki wa kizazi kipya,nafurahi leo kujua kwamba kuna watu wanaamini hivyo.
Dogo mwengine ambaye kama angekua anajitambua ni MATONYA,ana sauti kali sana ila ndio hivyo dunia inampoteza!!

#team Ali k huyo mwingine mfanyabiashara wa music
 
Mwenye namba yake ya simu jamani naomba tafadhali
 
Huyu Malow aliwai imba pale nkumah live band siku ya kigoda cha mwl Nyerere aisee Jamaa anajua...sasa nikajiuliza inakuaje hawa waimbaji wazuri hawafanikiwi? Bw Masoud akanisaidia kwamba Kuna wanamuziki na wafanya biashara ya muziki.
 
Back
Top Bottom