ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 442
masoud masoud ana watoto wazuuriii jamani cc
FaizaFoxy ila hajasema ana wajukuu wangapi?
Nafurahi umenialika.
Namjua sana Masoud, mmoja wa wake zake aliyewahi kuoa ni jirani yetu pale Udoe. Huyo hi msanii tu aka tapeli. Utaoaje halafu umwache mkeo kwao miaka yote?
Masikini Fatma, alikuwa akihangaika kumsaidia Dadake Marehemu Bi Khadija, kuuza umamalishe kwa kutelekezwa na huyu msanii.
Huyu kwao ni Shinyanga na alikuwa Maalim wa madrassa, asidanganye watu kuwa "alizaliwa na utangazaji". Redio ipi?mmlishawahi kuisikia Redio Shinyanga ?
Masoud tapeli na cha-pombe. Tumjuae hatudanganyiki.
Marehem Shufaa, Dadake Fatma tumekuwa nae ingawa alikuwa mdogo kidogo kwangu, nawajua ukoo mzima. Kuanzia Hussein Yanga, Marehemu Farid, Marehemu Ahmed Yanga, Marehemu Shufaa, Marehemu Abuu, walio bak, Fatuma na Mani.
Sifa kubwa ya MM ni sauti na Maneno matam, sifa kuu ya matapeli wote. Zaidi ya hayo hana analolijuwa zaidi ya kuwa hi kufundisha madrassa hapo zamani za kale. Na Quran aliitupa kwa kuwa cha-pombe nayo imemtupa.
Nyongeza tu: 1.Kiba 2.Marlow (niliwahi kumsikia kitambo sijui yuko wapi) na yule mtoto wa Morogogo (aliimba masogange).
Sio kama zembwela kunasiku alifanyiwa interview nasalama watu wakasifia oohh anajua kujielezea sijui nini apo kwa masoud nazani ni brek ya mambo yote dah utazani google bwana salama wale ndoo watu unaotakiwa uwahoji sio kina watoboa pua
Nafurahi umenialika.
Namjua sana Masoud, mmoja wa wake zake aliyewahi kuoa ni jirani yetu pale Udoe. Huyo hi msanii tu aka tapeli. Utaoaje halafu umwache mkeo kwao miaka yote?
Masikini Fatma, alikuwa akihangaika kumsaidia Dadake Marehemu Bi Khadija, kuuza umamalishe kwa kutelekezwa na huyu msanii.
Huyu kwao ni Shinyanga na alikuwa Maalim wa madrassa, asidanganye watu kuwa "alizaliwa na utangazaji". Redio ipi?mmlishawahi kuisikia Redio Shinyanga ?
Masoud tapeli na cha-pombe. Tumjuae hatudanganyiki.
Marehem Shufaa, Dadake Fatma tumekuwa nae ingawa alikuwa mdogo kidogo kwangu, nawajua ukoo mzima. Kuanzia Hussein Yanga, Marehemu Farid, Marehemu Ahmed Yanga, Marehemu Shufaa, Marehemu Abuu, walio bak, Fatuma na Mani.
Sifa kubwa ya MM ni sauti na Maneno matam, sifa kuu ya matapeli wote. Zaidi ya hayo hana analolijuwa zaidi ya kuwa hi kufundisha madrassa hapo zamani za kale. Na Quran aliitupa kwa kuwa cha-pombe nayo imemtupa.
usione kichaka!ugetaja majina yao tukawa google tujionee wenyewe
unapoishi una TV?
Nasikia kuna mtangazaji anaitwa Wasiwasi nani sijui...je unahisi ana uwezo wa kujieleza na kujibu maswali kama alionao Masoud Masoud?
ugetaja majina yao tukawa google tujionee wenyewe
Nafurahi umenialika.
Namjua sana Masoud, mmoja wa wake zake aliyewahi kuoa ni jirani yetu pale Udoe. Huyo hi msanii tu aka tapeli. Utaoaje halafu umwache mkeo kwao miaka yote?
Masikini Fatma, alikuwa akihangaika kumsaidia Dadake Marehemu Bi Khadija, kuuza umamalishe kwa kutelekezwa na huyu msanii.
Huyu kwao ni Shinyanga na alikuwa Maalim wa madrassa, asidanganye watu kuwa "alizaliwa na utangazaji". Redio ipi?mmlishawahi kuisikia Redio Shinyanga ?
Masoud tapeli na cha-pombe. Tumjuae hatudanganyiki.
Marehem Shufaa, Dadake Fatma tumekuwa nae ingawa alikuwa mdogo kidogo kwangu, nawajua ukoo mzima. Kuanzia Hussein Yanga, Marehemu Farid, Marehemu Ahmed Yanga, Marehemu Shufaa, Marehemu Abuu, walio bak, Fatuma na Mani.
Sifa kubwa ya MM ni sauti na Maneno matam, sifa kuu ya matapeli wote. Zaidi ya hayo hana analolijuwa zaidi ya kuwa hi kufundisha madrassa hapo zamani za kale. Na Quran aliitupa kwa kuwa cha-pombe nayo imemtupa.
Picha yake plz..wengine hatumjui
usione kichaka!
ha ha the boss jamani ninavyosema wazuri ni wazuriiiiiiiiii haswaaaa mi sisifiagi ovyo ila siku nliyowaona nkabaki naduwaaaaa wale wanaochorwa bambataa la haja,hips sura nzuri,jicho nywele,mguu,daam nlikuwa nakaa nao rum moja yaani akivua nguo balaa tulikuwa tunawasashangaaa yaani kila kitu bombaaaa mkubwa zuwena masudi mdogo nuru masudi nuru unaweza kjmgoogle ukampata ila zuwena jamaniiiiiiiii mzuriiiiiiiiiiiii sidhani kama utampata