Majibu kwa Mchungaji Msigwa plain and simple

Majibu kwa Mchungaji Msigwa plain and simple

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mchungaji Msigwa ametweet kwa mbwembwe sana na huwa nashangaa kwa nini haji kupost humu JF kwa Great thinkers?

Amesema Bunge lilitekwa,Mahakama ilitekwa,wanahabari wametekwa na sasa Kanisa limetekwa(sijui aamaanisha hadi kanisa lake??)

AMESAHAU:wabunge wa chadema walitekwa,wasanii wametekwa,wamachinga walitekwa,bodaboda wametekwa,vijana wametekwa,wanavyuo wametekwa ,walemavu wametekwa na kina mama ndio usiseme

Kwa kumjibu niseme kuwa CCM ya sasa ina uwezo mkubwa wa ushawishi (kuteka)kwa makundi mbalimbali ya kijamii na walifanya juhudi kubwa kuwateka kwa sera na utekelezaji uliotukuka.

KUTOKA CHAMWINO NA CHIMWAGA DODOMA!
 
Duuu!!! Sasa hii ni mada gani? Mbona haina kichwa wala miguu?
Alafu tokea asubuh unahangaika kuitafuta buku7 Kwa nguvu,Kwa mada za kitoto kama hizi itakuwa ngumu Leo kupata posho
ni mada kwa ajili ya Great thinkers tu.
 
Jingalao will exponentially being jingalao provided that the guy lives in Mataga street.
tapatalk_1592766000193.jpg
 
Masikini empty head tabulalasa snaona katoa bonge ya majibu kumbe ni very irrelevant .
 
Back
Top Bottom