Majibu kwa waliombaga nida(mamlaka ya taifa vitambulisho)

mchakachuaji

Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
58
Reaction score
7
Napenda kuwajuza wadau wote waliofanya interview mara 2 Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho (NIDA) MAJIBU YAMESHATOKA na waliofaulu wameshapigiwa simu jana na leo, so kama hujapigiwa simu consider urself unsuccessful au uombe baadhi yao wasiende ili uitwe wewe.
 
Hawa watu wamechakachua majina na ukweli ni kuwa UDINI umetawala process nzima.Najua wapo watakaonipinga kwa kuzungumzia udini lakini kama unataka kuamini waambie wathubutu kuweka majina ya walioitwa hadharani ndio mtaamini nilichokisema.Pia,walitangaza nafasi 68 za RO II,but wameitwa 40 only.Huu ni uhuni na mizengwe.Wandugu hizo ndo za jikoni.Muulize ndg yako anaefanya pale ndo utaamini.
 
Majina kwa nani aitwe na aachwe yanachakachuliwa palepale NIDA.Kuna mama pale anaeshughulikia suala hili ndie anaeamua nani aitwe na nani asiitwe bila kuzingatia majibu alioyapokea kutoka sekretarieti.Kigezo ni sababu niliotaja awali.
 
Majina kwa nani aitwe na aachwe yanachakachuliwa palepale NIDA.Kuna mama pale anaeshughulikia suala hili ndie anaeamua nani aitwe na nani asiitwe bila kuzingatia majibu alioyapokea kutoka sekretarieti.Kigezo ni sababu niliotaja awali.

So wewe hujaitwa mkuu au imekuwaje??
 
Ndugu mi ningependa kupata ufafanuzi kwa alie tayari kufanya kunipatia, tunaposema udini tunamaanisha vipi , je kuwa wale wlioajiliwa wote wanadini moja au wale wafanyakazi wa zamani wa palewote wana dini moja, kama atuna uwakika na tunayo yazungumza basi tusiwe tunandika apa kwasababu hii itatujengea dhana mbaya kwenye maindi zetu, Tumesikia kuwa UDOM kuna udini leop tena NIDA, Lakini tukumbuke kuwa kuna jamii ya watu apa nchini toka miaka ya nyuma sana wanalalamika kuwa serikali ina udini, mi nashindwa kuelewa Naomba ufafanuzi wanajamii
 
Wa tanzania tujijengee dhana ya kukubali kushindwa,kama umshindwa jipange na tufight kwa nafasi zijazo, ivi leo ungekuwa wewe ndio umeshinda nafasi iyo ungelumu ivo unavolaumu? tujifunze mazuri kutoka kwa wenzetu mfano leo hii arsenal ikefungwa wenger maramoja anakubali kuzidiwa ujanja na utamsikia akisema tunajipanga kwa mechi ijayo lakini nadra sana kumsikia akimlaumu refa au chama cha soka cha uingeleza, kinyume na kwetu ukiona yanga au simba imefungwa basi lawama kwa refa au TFF, dhana hii inahamia ssa ata kwa wasomi wa tanzania, jua kwamba hata mkiwa mnashindana watu wawili kwenye interview kuna uwezekano mwenzako ndio atakaeshinda na sio wewe.TUKUBALI KUSHINDWA
 

tuzingatie ya polite man jamani cha ziada tujipange kushinda usaili na sio kulalamika.
 
Lol! I congraturate those winners.Mi sikuomba hizo kazi kwan ni mjasiliamali hapa Kisarawe.But my cousin aliepata hapo ameshangaa kuona UDINI wa hali ya juu sana.Karatas nzima ya watu walioitwa ukiingalia inasikitisha.Vijana mtake msitake udini utatumaliza, inahitajika mjadala wa kitaifa na sio jazba kwa anaesema ukweli kuwa udini unatawala process nzima ya ajira.Lakini kama vijana lazima mfight ili process nzima ya ajira iwe huru na haki.La sivyo kama huna mtu na sio kutoka kundi fulan utazeeka bila kupata kazi huku ukiwapongeza wenzako kwa kupata kazi.Tafakari chukua hatua.
 
kwa mdau anayehusika hapo nida, atupe taarifa kama majina yatawekwa hewani, nakumbuka walisema majina yatatoka kwenye magazeti, natumai yatatoka, au mpaka kieleweka hapo tume ya utumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…