Majibu yametoka leo na tayari udsm wameshabandika majina ya waliopata!!!
Ngoja nita check kesho. Sasa wanajua wanavyuo wapo likizo kwanini hawaweko kwenye net???
Majina ya appels huwa hawawek kwa net..
yanatumwa kwa loanboard officer wa chuO husika ila kama chuo chako akielewek lazma msoteshwe sana. vyuo ka udism na st august huwa wanapata mapema sana..
kwa hiyo watalipa kwa semister ya 1&2 au ya 2 tu.
Mtandaoni hamna mkuu.kachek chuoni kwako yametumwa vyuon