Hata hivyo sasa hivi sisi tulishaacha kuijadili hiyo katiba, haina mvuto, ndio maana hata jana wakati waziri wa Sheria Dr, Asha Rose alivyoenda kuigawa katiba yake kwa makundi maalum, ilimdodea.
HABAri YA MUJINI SASA HIVI NI UKAWA KUSHIKA DOLA TU, na sio nyingine.
Katiba zetu mtafungia maandazi tu